Jinsi ya kuwapigia kura Diamond na Vanessa waweze kushinda tuzo za MTV MAMA 2015 #MTVMAMA2015

Mwaka huu Tanzania inawakilishwa na wasanii wawili kwenye tuzo za MTV Africa Music Awards KWAZULU-NATAL 2015 (MAMA), ambao ni Diamond Platnumz pamoja na Vanessa Mdee.

 Ili Diamond na Vanessa waweze kushinda, nguvu kubwa inahitajika kutoka kwa mashabiki kwa kupiga kura kwa wingi sababu ushindi wa mabalozi hawa wa burudani ni ushindi kwa taifa zima la Tanzania.

Diamond anawania vipengele vitatu ambavyo ni Best Male, Best Collaboration na Best Live.
Upande wa Vanessa anawania kipengele kimoja cha Best Female.

Njia ya kupiga kura ni moja, ingia kwenye website ya http://mama.mtv.com/voting/ na ufate maelekezo rahisi ya jinsi ya kupiga kura.
Support muziki wa nyumbani ili uweze kufika mbali kimataifa.




Twitter: @djmwanga     
Instagram: @djmwanga     
Facebook Fans Page: DJMwanga

ad

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *